Wengi wa watu
wanaoenda katika usaili kwa kuwa wanatambua kwamba unadhifu ni jambo la muhimu
sana wamelizingatia sana.Changamoto kubwa ni pale wengi
wanapoamua kujipamba kwa hali ya juu kiasi cha kuwafanya wajisikie wageni katika miili yao,jambo hili linaweza kukuletea matatizo kwani utajisikia kukosa kutokujiamini na muda mwingi utajikita katika kuzingatia mapambo yako.Kumbuka kila dakika katika usaili ni ya thamani sana.
Jambo la kuzingatia hapa ni kuhakikisha kwamba
unajipamba katika viwango vya kawaida na ambavyo vinakubalika katika jamii ya
eneo husika na zingatia tamaduni ya mavazi ya ofisi husika.

Post a Comment