JE
NI JAMBO GANI AMBALO UMEFANIKIWA KULIFANYA KATIKA TAALUMA NA KAZI YAKO MPAKA SASA..
What
is the single most significant accomplishment in your career up to this point?
Swali
hili ni moja lakini limebeba maswali mengi ambayo yatosha kujibiwa kwa muda wa dakika
30 za usaili na ukijibu vema utapata nafasi unayoomba.,Tazama maswali yake
B.Nieleze
jinsi ulivyofanya kazi na wenzio na nini yalikuwa majukumu yako
C.Nieleze
changamoto 3 ulizokutana nazo na namna ulivyoshughulika nazo
D.
Je, unaweza kupima matokeo hayo na kwa nini unafikirii kuwa ni mafanikio?
E.Ukitazama
sasa nini ungeweza kufanya cha tofauti na awali na ambacho kingekupa matokeo
zaidi ya mwanzo?
F.Kwanini
unafikiri ulichaguliwa katika nafasi ile?
G.Kwanini
unajisikia fahari kwa mafanikio hayo?
H.
Nieleze zaidi kuhusu mienendo ya timu ulofanyanayo kazi na hadi kukamilisha kazi hii
I.Uliwezaje
kusimamia mpango wako na hadi kufikia mafanikio?
J.Ni
mambo gani uliyapenda katika mradi/shughuli hiyo?
K.Ni
mambo gani hukuyapenda na ni kwa njia
zipi ulikabiliana nayo?
L.Uliwezaje kuongozwa,mambo gani uliyapenda na
hukuyapenda katika uongozi
M.
Eleza baadhi ya makosa makubwa ulofanya, jinsi gani uliyashughulikia , na nini ulijifunza
kutokana na makosa hayo?
N.
Tafadhali nipe mifano 5 maalum ya jinsi
gani ya ulivyoongoza, na kusimamia wengine
O.Umejifunza
nini kutoka kwa watumishi wenzako
P.Binafsi
umewezaje kuongeza uwezo wako kutokana na uzoefu huu?
Q.Ni
kwa jinsi gani kutokana na uzoefu ulojifunza utakusaidia katika nafasi hii
uloomba leo?
………..Maktaba YETU leo……….
. “Strength does not come from winning. Your struggles develop your strengths. When you go through hardship and decide not to surrender, that is strength”
. “Strength does not come from winning. Your struggles develop your strengths. When you go through hardship and decide not to surrender, that is strength”
– Arnold
Schwarzenegger

Post a Comment