Home » » INASIKITISHA:wengi hawazingatii hili katika usaili…soma hapa itakusaidia

INASIKITISHA:wengi hawazingatii hili katika usaili…soma hapa itakusaidia

Written By Unknown on Monday, August 25, 2014 | 5:39 AM


Baada ya utafiti wa muda mrefu kutoka kwa wataalam mbalimbali wa usaili,Blog yako ya Amewezaje.Inakuolekeza sehemu tano muhimu za usaili ambazo ndio nguzo kuu za usaili wowote ule.Nikuombe uzingatie sana mpendwa msomaji kwani kwa kuyajua haya utajiweka katika mazingira ya kupata ajira unayoitaka,Kumbuka siku zote unapojibu maswali usihanisha na maisha yako halisi yenye uzoefu unaoendana na kazi uloomba hii itakusaidia kujibu maswali tata katika usaili.Haya ndo maeneo ambapo maswali tata hutokea…..
       a. Huwezo wako binafsi.
Hii inajumuisha: maarifa,uwezo wa kukabiliana na hatari,uwezo wa utendaji kazi binafsi,uadilifu   
Swali la kawaida hapa ni:Niambie wakati ulipopata changamoto katika kazi au katika wazo ulotoa.
b.Uwezo wa usimamizi.
hii inajumuisha:   Uwezo wako wa kuchukua majukumu ya watu wengine; uongozi, uwezeshaji, kufikiri kimkakati endelevu, usimamizi wa mradi na kudhibiti usimamizi wake.
Swali la kawaida hapa ni: Niambie kuhusu wakati wewe uliongoza kundi kufikia lengo.
c.Uwezo wako katika kupangilia mambo.
hii inajumuisha:Uwezo wako wa kufanya maamuzi,njisi unavyoweza kutatatua matatizo, ubunifu,mambo ulojifunza kwa vitendo.
Swali la kawaida hapa ni: Niambie wakati ulipobainisha njia mpya ya kutatua tatizo.
d.Uwezo wa kufanyakazi na watu.
Hii inajumuisha:mahusiano yako kijamii,katika kazi,uwezo wa kufanya kazi kitimu na namna unvyoshrikiana nao.
Swali la kawaida hapa ni:Elezea wakati ulipofanya kazi na watu kwa pamoja.
f.Uwezo wa kimvuto
Hii inajumuisha: uwezo wa kuwa na maono/mitazamo chanya,utulivu katika utendaji,mtazamo wa kimatokeo zaidi.
Swali la kawaida hapa ni:Ni wakati upi mgumu ulipofanya kazi na ukajisikia kupata mafanikio katika hali hiyo ngumu.

KUMBUKA:Tenga muda wa kuwa na maandalizi ya kutosha kabla ya kwenda kwenye usaili.

………..Maktaba YETU leo……….
. “When hiring key employees, there are only two qualities to look for: judgement and taste. Almost everything else can be bought by the yard.”

  John W. Gardner
Share this article :

Post a Comment

 
Owner : Amewezaje team | Join us on Facebook | Welcome again
Copyright © 2015. Amewezaje - All Rights Reserved
Designed by Kijiwe Cha Wasomi