Home » » Haya yatakugharimu katika usaili(body language)..soma hapa

Haya yatakugharimu katika usaili(body language)..soma hapa

Written By Unknown on Monday, August 25, 2014 | 12:49 PM

Lugha ya mwili inanafasi kubwa sana katika usaili kuliko kile unachosema,Kupitia lugha ya mwili ni rahisi sana kueleweka kuliko kuongea maneno mengi ukiwa umeganda mithiri ya kuwa katika barafu.Blog yako ya amewezaje inakupa dondoo muhimu za kuzingatia katika utumizi wa lugha ya mwili(body language)


·       1Mawasiliano ya macho kati yako na Yule anayekusaili.Hii inakufanya uweze kueleweka na kufukisha ujumbe kwa njia nyepesi.

·    2.    Uwe na uso wa furaha na wa kujiamini.Hii inakusaidia kuwa na mvuto kwa anayekusaili na azidi kukusiliza.Epuka uso wa kukunjamana usaili si vita.

·     3.   Weka mikono yako juu ya magoti au mezani sio kifuani.Hii inaonesha kwamba uko wazi na hufungwi na kitu chochote na itakusaidia katika kujieleza.

·  4.     Unaponyanyua mikono wakati wa kuzungumza punguza sauti yako iwe ya utulivu.


·      5.  Epuka kuonekena mkakamavu wa kupitiliza lakini pia usionekane kuwa na wasiwasi.

………..Maktaba YETU leo……….
 “Every day is a training day and every event is a training event.” 
          
James Pritchert


Share this article :

Post a Comment

 
Owner : Amewezaje team | Join us on Facebook | Welcome again
Copyright © 2015. Amewezaje - All Rights Reserved
Designed by Kijiwe Cha Wasomi