Home » » Hizi ndo siri za kupata ajira kwa njia rahisi,soma hapa

Hizi ndo siri za kupata ajira kwa njia rahisi,soma hapa

Written By Unknown on Thursday, September 4, 2014 | 9:55 AM


Mpendwa msomaji ni wazi kwamba suala la ajira linahitaji mbinu nyingi.Kwa leo blog yako ya Amewezaje inakuletea siri chache za kufanya kubadili kazi ya muda(internship) kuwa ajira ya kudumu,soma dondoo hizi..

1. Jenga mwonekano mzuri wa maadili ya kazi
2. Kamilisha majukumu ulopewa kwa wakati
3. Siku zote zingatia na kufuata taratibu na sheria za shirika
4. Bainisha masuala ya msingi ambayo hayafanyiki katika shirika unayoona yatasaidia shirika
5. Jenga mahusiano mazuri na watumishi wenzako
6. Kuwa karibu sana na msimamizi wako
7. Unapokuwa umekamilisha majukukmu yako wawezauliza majukumu zaidi badala ya kusubiri mara zote uletewe majukumu

8. Fanya kazi kwa ujuzi wa hali ya juu zaidi

………..Maktaba YETU leo……….
“Great vision without great people is irrelevant.”
    Jim Collins, Good to Great
Share this article :

Post a Comment

 
Owner : Amewezaje team | Join us on Facebook | Welcome again
Copyright © 2015. Amewezaje - All Rights Reserved
Designed by Kijiwe Cha Wasomi