Katika kuandika CV yako tumia muda wako vizuri na
usifanye makosa kama wengi wanavyofanya na kuishia kulalamika kuwa kazi hakuna
.Makosa yafuatayo ni ya kawaida sana lakini ukiyafanya ni hakika CV yako
haitakuwa na thamani tena:
•
Makosa
ya herufi na msamiati
•
Kutolenga
kazi maalum/kuandika kwa jumla
•
Urefu
usiofaa & ujumbe mbaya kuhusu historia ya kazi
•
Muundo
usiofaa na kutotumia vitone kubainisha ujumbe
•
Kutoonyesha
mafanikio yako
•
Ujumbe
kuhusu njia ya kuwasiliana nawe na barua pepe
•
Malengo
yasiyoeleweka kwa mwajiri
•
Uongo
/taarifa za uongo
Post a Comment